2 Samweli 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 1 Mambo ya Nyakati 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Nathani akamwambia Daudi: “Kila jambo lililo moyoni mwako lifanye,+ kwa kuwa Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.”+
2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
2 Basi Nathani akamwambia Daudi: “Kila jambo lililo moyoni mwako lifanye,+ kwa kuwa Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.”+