2 Ndipo Sulemani akaanza kuwakusanya katika Yerusalemu wanaume wazee wa Israeli+ na vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za wana wa Israeli, ili kulileta sanduku+ la agano la Yehova kutoka+ katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+