10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+
5 “Mwambieni binti Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ mwenye tabia-pole,+ naye amepanda juu ya punda, ndiyo, juu ya mwana-punda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’ ”+