2 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo Sulemani aliwakusanya wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli. Wakaja Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+
2 Wakati huo Sulemani aliwakusanya wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli. Wakaja Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+