-
1 Wafalme 8:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeli—viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+ 2 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele ya Mfalme Sulemani wakati wa sherehe* katika mwezi wa Ethanimu,* yaani, mwezi wa saba.+
-