-
2 Mambo ya Nyakati 5:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Wakati huo Sulemani aliwakusanya wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli. Wakaja Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+ 3 Wanaume wote wa Israeli walikusanyika mbele ya mfalme wakati wa sherehe* inayofanywa katika mwezi wa saba.+
-