-
1 Mambo ya Nyakati 24:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ndipo Shemaya mwana wa Nethaneli mwandishi+ wa Walawi akawaandika mbele ya mfalme na wakuu na Sadoki+ kuhani na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari+ na vichwa vya baba za makuhani na vya Walawi,+ nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba ikichaguliwa kwa ajili ya Eleazari+ na moja ikichaguliwa kwa ajili ya Ithamari.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 24:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Nao wenyewe pia wakapiga kura+ sawasawa na walivyofanya ndugu zao wana wa Haruni mbele ya Daudi mfalme, na Sadoki na Ahimeleki na vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba vya makuhani na vya Walawi. Na kwa habari ya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ aliye kichwa alikuwa sawasawa na ndugu yake mdogo.
-