2 Samweli 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Mfalme Daudi akatuma ujumbe kwa Sadoki+ na Abiathari,+ makuhani, akisema: “Semeni na wanaume wazee wa Yuda+ hivi, ‘Kwa nini ninyi muwe wa mwisho kumrudisha mfalme nyumbani kwake, wakati neno la Israeli wote limemfikia mfalme nyumbani kwake? 1 Wafalme 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+
11 Basi Mfalme Daudi akatuma ujumbe kwa Sadoki+ na Abiathari,+ makuhani, akisema: “Semeni na wanaume wazee wa Yuda+ hivi, ‘Kwa nini ninyi muwe wa mwisho kumrudisha mfalme nyumbani kwake, wakati neno la Israeli wote limemfikia mfalme nyumbani kwake?
7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+