Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.

  • 1 Samweli 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.

  • 2 Samweli 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na tazama, pia Sadoki+ alikuwapo na Walawi+ wote pamoja naye wakiwa wamelichukua+ sanduku+ la agano la Mungu wa kweli; nao wakaliweka chini sanduku la Mungu wa kweli kando ya Abiathari+ mpaka watu wote walipomaliza kuvuka kutoka jijini.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena, Daudi akawaita Sadoki+ na Abiathari+ makuhani, na Walawi Urieli,+ Asaya+ na Yoeli,+ Shemaya+ na Elieli+ na Aminadabu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki