1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi. 1 Samweli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi. 2 Samweli 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na tazama, pia Sadoki+ alikuwapo na Walawi+ wote pamoja naye wakiwa wamelichukua+ sanduku+ la agano la Mungu wa kweli; nao wakaliweka chini sanduku la Mungu wa kweli kando ya Abiathari+ mpaka watu wote walipomaliza kuvuka kutoka jijini. 1 Mambo ya Nyakati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, Daudi akawaita Sadoki+ na Abiathari+ makuhani, na Walawi Urieli,+ Asaya+ na Yoeli,+ Shemaya+ na Elieli+ na Aminadabu,
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.
7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.
24 Na tazama, pia Sadoki+ alikuwapo na Walawi+ wote pamoja naye wakiwa wamelichukua+ sanduku+ la agano la Mungu wa kweli; nao wakaliweka chini sanduku la Mungu wa kweli kando ya Abiathari+ mpaka watu wote walipomaliza kuvuka kutoka jijini.
11 Tena, Daudi akawaita Sadoki+ na Abiathari+ makuhani, na Walawi Urieli,+ Asaya+ na Yoeli,+ Shemaya+ na Elieli+ na Aminadabu,