1 Samweli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+ 1 Samweli 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda. 1 Samweli 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake. 1 Samweli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi. 2 Samweli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Sheva+ alikuwa mwandishi,+ na Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani. 1 Wafalme 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno la Yehova alilokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli+ katika Shilo.+
31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+
3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda.
6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake.
7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.
27 Basi Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno la Yehova alilokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli+ katika Shilo.+