Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+

  • 1 Samweli 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda.

  • 1 Samweli 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake.

  • 1 Samweli 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.

  • 2 Samweli 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Sheva+ alikuwa mwandishi,+ na Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani.

  • 1 Wafalme 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno la Yehova alilokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli+ katika Shilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki