1 Samweli 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini akamwita mvulana huyo jina Ikabodi,+ akisema: “Utukufu umeondoka katika Israeli kwenda uhamishoni,”+ hayo alisema kuhusu sanduku la Mungu wa kweli lililotekwa na kuhusu baba-mkwe wake na mume wake.+
21 Lakini akamwita mvulana huyo jina Ikabodi,+ akisema: “Utukufu umeondoka katika Israeli kwenda uhamishoni,”+ hayo alisema kuhusu sanduku la Mungu wa kweli lililotekwa na kuhusu baba-mkwe wake na mume wake.+