1 Samweli 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ikawa kwamba mara sanduku la agano la Yehova lilipoingia katika kambi, Waisraeli wote wakaanza kupiga kelele kubwa,+ hata dunia ikavurugika. 1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+
5 Na ikawa kwamba mara sanduku la agano la Yehova lilipoingia katika kambi, Waisraeli wote wakaanza kupiga kelele kubwa,+ hata dunia ikavurugika.