Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+

  • 1 Samweli 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+

  • 1 Samweli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi yule mleta-habari akajibu na kusema: “Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, na pia watu wameshindwa vibaya sana;+ hata wana wako wawili wamekufa pia—Hofni na Finehasi+—nalo sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+

  • Zaburi 78:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Nao makuhani wake, wakaangushwa kwa upanga,+

      Na wajane wao hawakulia.+

  • Mhubiri 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+

  • Mhubiri 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki