17 Basi yule mleta-habari akajibu na kusema: “Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, na pia watu wameshindwa vibaya sana;+ hata wana wako wawili wamekufa pia—Hofni na Finehasi+—nalo sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+
8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+