33 Hata hivyo, kuna mwanamume wa kwako ambaye sitamkatilia mbali asiwe kwenye madhabahu yangu ili kuyafanya macho yako yafifie na kuidhoofisha nafsi yako; lakini hesabu kubwa ya nyumba yako watakufa wote kwa upanga wa wanadamu.+
18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.