1 Samweli 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.” Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+ Maombolezo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+
3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”
17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+