Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”

  • Zaburi 78:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+

      Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+

  • Maombolezo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+

      Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+

      Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki