Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, wakafanya kimbelembele kupanda mpaka juu ya mlima,+ lakini sanduku la agano la Yehova na Musa hawakuondoka katikati ya kambi.+

  • Yoshua 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+

  • 1 Samweli 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Sauli akamwambia Ahiya:+ “Lilete karibu sanduku la Mungu wa kweli!”+ (Kwa maana siku hiyo sanduku la Mungu wa kweli lilikuwa pamoja na wana wa Israeli.)+

  • 2 Samweli 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki