4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+
18 Basi Sauli akamwambia Ahiya:+ “Lilete karibu sanduku la Mungu wa kweli!”+ (Kwa maana siku hiyo sanduku la Mungu wa kweli lilikuwa pamoja na wana wa Israeli.)+
25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+