27 Na ikawa kwamba alipofika huko akaanza kupiga baragumu+ katika eneo lenye milima la Efraimu;+ na wana wa Israeli wakaanza kushuka pamoja naye kutoka katika eneo lenye milima, yeye akiwa mbele yao.
22 Na wale mia tatu+ wakaendelea kupiga baragumu,+ na Yehova akatia upanga wa kila mmoja juu ya mwenzake katika kambi yote;+ na kambi ikaendelea kukimbia hadi Beth-shita, hadi Serera, hadi kwenye mipaka ya Abel-mehola+ kando ya Tabathi.