5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.”
3 Ndipo Yonathani akaipiga kambi ya kijeshi+ ya Wafilisti+ iliyokuwa katika Geba;+ nao Wafilisti wakasikia habari hizo. Naye Sauli akapiga baragumu+ nchini kote, akisema: “Waebrania na wasikie!”
2“Pigeni baragumu katika Sayuni,+ pigeni kelele za vita+ katika mlima wangu mtakatifu.+ Wakaaji wote wa nchi na wafadhaike;+ kwa maana siku ya Yehova inakuja,+ kwa maana iko karibu!