Yeremia 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+ Hosea 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Pigeni baragumu+ katika Gibea,+ tarumbeta katika Rama! Pigeni kelele za vita katika Beth-aveni+—nyuma yako, Ee Benyamini!+
15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+
8 “Pigeni baragumu+ katika Gibea,+ tarumbeta katika Rama! Pigeni kelele za vita katika Beth-aveni+—nyuma yako, Ee Benyamini!+