6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+