Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 51:11 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,6/2017, uku. 3
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.