Yoshua 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pembe za kondoo dume zitakapopigwa, na mara tu mtakaposikia mlio wake,* watu wote watapiga kelele kubwa za vita. Kisha ukuta wa jiji utaanguka chini,+ na kila mtu ataingia jijini moja kwa moja.”
5 Pembe za kondoo dume zitakapopigwa, na mara tu mtakaposikia mlio wake,* watu wote watapiga kelele kubwa za vita. Kisha ukuta wa jiji utaanguka chini,+ na kila mtu ataingia jijini moja kwa moja.”