3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”
7Basi watu wa Kiriath-yearimu+ wakaja, nao wakalipandisha sanduku la Yehova na kuliingiza katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwana wake ili alinde sanduku la Yehova.