Waamuzi 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wale wakuu wa muungano wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni+ mungu wao na ili washangilie, nao wakawa wakisema: “Mungu wetu amemtia mkononi mwetu Samsoni adui yetu!”+ 1 Mambo ya Nyakati 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwishowe wakaweka silaha zake katika nyumba ya mungu wao,+ na fuvu lake la kichwa wakalifunga kwenye nyumba ya Dagoni.+ Zaburi 115:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+
23 Lakini wale wakuu wa muungano wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni+ mungu wao na ili washangilie, nao wakawa wakisema: “Mungu wetu amemtia mkononi mwetu Samsoni adui yetu!”+
10 Mwishowe wakaweka silaha zake katika nyumba ya mungu wao,+ na fuvu lake la kichwa wakalifunga kwenye nyumba ya Dagoni.+