1 Samweli 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Sauli akamwambia Ahiya:+ “Lilete karibu Sanduku la Mungu wa kweli!” (Kwa maana wakati huo* Sanduku la Mungu wa kweli lilikuwa pamoja na Waisraeli.)
18 Basi Sauli akamwambia Ahiya:+ “Lilete karibu Sanduku la Mungu wa kweli!” (Kwa maana wakati huo* Sanduku la Mungu wa kweli lilikuwa pamoja na Waisraeli.)