1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+ Maombolezo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+
17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+