1 Samweli 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaendelea kumwambia Samweli: “Tazama! Ninafanya+ jambo katika Israeli ambalo yeyote akilisikia, masikio yake mawili yatawasha.+ 1 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+
11 Na Yehova akaendelea kumwambia Samweli: “Tazama! Ninafanya+ jambo katika Israeli ambalo yeyote akilisikia, masikio yake mawili yatawasha.+
10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+