2 Wafalme 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+ Yeremia 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+
12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+
3 Nawe useme, ‘Sikieni neno la Yehova, enyi wafalme wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu.+ Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli, amesema hivi: “‘“Tazama, ninaleta msiba juu ya mahali hapa, ambao yeyote akisikia habari zake, masikio yake yatawasha;+