16 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na juu ya wakaaji+ wake, naam, maneno+ yote ya kile kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma;+
12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+
12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.