Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+

  • Kumbukumbu la Torati 28:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

  • Danieli 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na watu wote wa Israeli wamevunja sheria yako, wamegeuka kando kwa kutotii sauti yako,+ hata ukatumwagia laana na kiapo rasmi+ ambacho kimeandikwa katika sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli, kwa maana tumemtendea Yeye dhambi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki