15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+
63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
11 Na watu wote wa Israeli wamevunja sheria yako, wamegeuka kando kwa kutotii sauti yako,+ hata ukatumwagia laana na kiapo rasmi+ ambacho kimeandikwa katika sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli, kwa maana tumemtendea Yeye dhambi.