4 Ole wake taifa lenye dhambi,+ watu walio na kosa zito, uzao unaotenda maovu,+ wana wenye kuharibu!+ Wamemwacha Yehova,+ wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli,+ wamegeuka kuelekea nyuma.+
10 Kwa hiyo nitawapa wanaume wengine wake zao, mashamba yao kwa wale wanaoyamiliki;+ kwa maana, kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+