Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Yeremia 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+

  • Maombolezo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+

      Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+

      Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+

  • Maombolezo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

      Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+

  • Ezekieli 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki