31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+
28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.