Hesabu 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na tazama, ninyi mmesimama mahali pa baba zenu kama kundi la watu wenye dhambi ili kuizidisha hasira ya Yehova+ inayowaka juu ya Israeli. Waamuzi 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+
14 Na tazama, ninyi mmesimama mahali pa baba zenu kama kundi la watu wenye dhambi ili kuizidisha hasira ya Yehova+ inayowaka juu ya Israeli.
19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+