Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+

      Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;

      Wanasema uwongo.+

  • Yeremia 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+

  • Yeremia 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+

  • Waroma 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa sababu kukaza akili juu ya mwili humaanisha uadui+ na Mungu, kwa maana mwili haujitiishi+ chini ya sheria ya Mungu, nao kwa kweli hauwezi kujitiisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki