16 Nami nitasema nao hukumu zangu juu ya ubaya wao wote,+ kwa kuwa wameniacha+ nao wanaendelea kufukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu na kuinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+
13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’