Yeremia 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nitatangaza hukumu zangu dhidi yao kwa sababu ya uovu wao wote,Kwa sababu wameniacha,+Nao wanaifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu+Na kuziinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+
16 Nami nitatangaza hukumu zangu dhidi yao kwa sababu ya uovu wao wote,Kwa sababu wameniacha,+Nao wanaifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu+Na kuziinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+