Yeremia 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nitasema nao hukumu zangu juu ya ubaya wao wote,+ kwa kuwa wameniacha+ nao wanaendelea kufukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu na kuinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+
16 Nami nitasema nao hukumu zangu juu ya ubaya wao wote,+ kwa kuwa wameniacha+ nao wanaendelea kufukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu na kuinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+