Kumbukumbu la Torati 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+ Yeremia 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Upepo unaovuma kwa nguvu kamili unatoka kwao kuja kwangu. Sasa mimi mwenyewe pia nitasema hukumu nao.+
20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+
12 Upepo unaovuma kwa nguvu kamili unatoka kwao kuja kwangu. Sasa mimi mwenyewe pia nitasema hukumu nao.+