Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mkimwacha Yehova na kuabudu miungu ya kigeni, yeye pia atawaacha na kuwaangamiza hata ingawa amewatendea mema.”+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu wameniacha na wanaifukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu ili kunikasirisha kwa kazi zote za mikono yao,+ ghadhabu yangu itawaka dhidi ya mahali hapa nayo haitazimwa.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini ikiwa utageuka na kuacha maagizo yangu na amri zangu ambazo nimeweka mbele yako, nawe uende na kuabudu miungu mingine na kuiinamia,+ 20 nitawang’oa Waisraeli kutoka katika nchi ambayo nimewapa,+ na nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele za macho yangu, nami nitaifanya iwe kitu cha kudharauliwa* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki