Kutoka 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usiwe na miungu mingine yoyote ila mimi.*+ Kumbukumbu la Torati 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Walikuwa wakiwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,Mipya iliyokuja hivi karibuni,Miungu ambayo mababu zenu hawakuijua. Waamuzi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+ Yeremia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+
17 Walikuwa wakiwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,Mipya iliyokuja hivi karibuni,Miungu ambayo mababu zenu hawakuijua.
12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+
11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+