Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa roho waovu wenye umbo la mbuzi,*+ wanaofanya nao ukahaba.+ Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu katika vizazi vyenu vyote.”’

  • Zaburi 106:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Waliwatoa dhabihu wana wao

      Na mabinti wao kwa roho waovu.+

  • 1 Wakorintho 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hapana; bali ninasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu, wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu, si kwa Mungu;+ nami sitaki muwe washiriki pamoja na roho waovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki