Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+

  • Kumbukumbu la Torati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova atawaletea laana, vurugu na adhabu katika kila kazi mnayofanya mpaka mtakapoangamizwa na kutoweka upesi, kwa sababu ya mazoea yenu maovu na kuniacha mimi.+

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mkivunja agano la Yehova Mungu wenu alilowaamuru mshike na mkienda kuabudu miungu mingine na kuiinamia, hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu+ nanyi mtaangamia haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo amewapa.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo akatoka kwenda kukutana na Asa, akamwambia: “Nisikilizeni, Asa na watu wote wa Yuda na Benjamini! Yehova yuko pamoja nanyi maadamu mnaendelea kuwa pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta, atawaruhusu mumpate,+ lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+

  • Isaya 63:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+

      Naye akageuka na kuwa adui yao,+

      Naye akawapiga vita.+

  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,

      Wote wanaokuacha wataaibishwa.

      Wale wanaokuasi* wataandikwa mavumbini,+

      Kwa sababu wamemwacha Yehova, chanzo cha maji yaliyo hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki