Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 8:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi nikaingia na kutazama, nikaona mifano mbalimbali ya viumbe wanaotambaa na wanyama wanaochukiza+ na sanamu zote zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli;+ zilikuwa zimechongwa ukutani kuzunguka pande zote. 11 Na wazee 70 wa nyumba ya Israeli walikuwa wamesimama mbele ya vitu hivyo, naye Yaazania mwana wa Shafani+ alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja wao alikuwa na chetezo chake mkononi mwake, na wingu la uvumba lenye manukato lilikuwa likipanda juu.+

  • Hosea 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kadiri walivyowaita,*

      Ndivyo walivyoenda mbali nao.+

      Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+

      Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki