9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+
Wana wasiotaka kusikia sheria ya Yehova.+
10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’
Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+
Tuambieni mambo yanayotupendeza; oneni maono ya udanganyifu.+
11 Tokeni kwenye njia; ondokeni kwenye kijia.
Acheni kumweka Mtakatifu wa Israeli mbele yetu.’”+