27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?
3 Ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya ili kunikasirisha kwa kwenda kutoa dhabihu+ na kuiabudu miungu mingine ambayo hawakuijua, wala ninyi wala mababu zenu.+