Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?

  • Isaya 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ole kwa taifa lenye dhambi,+

      Watu waliolemewa na dhambi,

      Uzao wa watu waovu, watoto waliopotoka!

      Wamemwacha Yehova;+

      Wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli;

      Wamemgeuzia migongo yao.

  • Yeremia 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ni kwa sababu ya mambo maovu waliyofanya ili kunikasirisha kwa kwenda kutoa dhabihu+ na kuiabudu miungu mingine ambayo hawakuijua, wala ninyi wala mababu zenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki