Kutoka 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+ Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.
8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.