Kumbukumbu la Torati 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Yehova akamwambia Musa hivi: “Tazama! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho pamoja na miungu ya kigeni inayowazunguka katika nchi wanayoenda.+ Wataniacha na kuvunja agano langu+ ambalo nimefanya pamoja nao.+ Yeremia 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi: “Mababu zenu waliona kosa gani kwangu,+Hivi kwamba wakatangatanga mbali sana nami,Wakazifuata sanamu za ubatili,+ nao wenyewe wakawa ubatili?+
16 Sasa Yehova akamwambia Musa hivi: “Tazama! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho pamoja na miungu ya kigeni inayowazunguka katika nchi wanayoenda.+ Wataniacha na kuvunja agano langu+ ambalo nimefanya pamoja nao.+
5 Yehova anasema hivi: “Mababu zenu waliona kosa gani kwangu,+Hivi kwamba wakatangatanga mbali sana nami,Wakazifuata sanamu za ubatili,+ nao wenyewe wakawa ubatili?+