37 Waliwatoa dhabihu wana wao
Na mabinti wao kwa roho waovu.+
38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+
Damu ya wana wao na mabinti wao wenyewe
Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+
Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.
39 Wakawa wachafu kwa sababu ya kazi zao;
Walifanya ukahaba wa kiroho kwa matendo yao.+