20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
14 “Nitawakomboa wao kutoka katika mkono wa Kaburi;*+ nitawaokoa wao+ kutoka kwenye kifo. Ee Kifo, iko wapi michomo yako?+ Ee Kaburi,* yako wapi maangamizi yako?+ Huruma itafichwa kutoka machoni pangu.+