Mambo ya Walawi 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ Zekaria 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana Yehova wa majeshi asema hivi, ‘ “Kama vile nilivyoazimia akilini kuwatendea ninyi msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,”+ Yehova wa majeshi asema, “wala sikujuta,+
28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+
14 “Kwa maana Yehova wa majeshi asema hivi, ‘ “Kama vile nilivyoazimia akilini kuwatendea ninyi msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,”+ Yehova wa majeshi asema, “wala sikujuta,+